Matangazo
◼ Ukumbusho utafanywa Siku ya Tano, tarehe 3 Mwezi wa 4, 2015. Kama kutaniko lenu lina mikutano Siku ya Tano, mufanye mikutano hiyo siku ingine ya juma wakati Jumba la Ufalme liko huru. Kama mukutano wa utumishi hautafanywa, muratibu wa baraza la wazee anaweza kufanya mabadiliko kwenye programu ya mukutano wa utumishi ili sehemu zilizo za lazima kwa kutaniko lenu zipangwe kwenye Mukutano wa Utumishi wa juma lingine katika mwezi.