Programu ya Juma la Tarehe 6 Mwezi wa 4
JUMA LA TAREHE 6 MWEZI WA 4
Wimbo 124 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 22 fu. 18-22, kisanduku kwenye uku. 228 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 16-18 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Samweli 18:17-24 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Mungu Ndiye Analetea Watu Mateso?—igw uku. 14 fu. 1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Baraka (Baraq)—Kichwa: Uwe Mwenye Nguvu, Lakini Usijitafutie Sifa—it-1-F uku. 269 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: Ukuwe “Tayari kwa Ajili ya Kazi Njema.”—Tito 3:1.
Wimbo 85
Dak. 10: Tuwatolee Watu Magazeti Katika Mwezi wa 4. Mazungumuzo. Muanze na onyesho kuhusu namna magazeti yanaweza kutolewa, kwa kutumia namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo. Kisha muchunguze namna mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo kuanzia mwanzo mupaka mwisho.
Dak. 10: Tulitumika Namna Gani? Mazungumuzo. Omba wahubiri waeleze namna walifaidika kwa kutumikisha mashauri yenye tulijifunza katika sehemu “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tujikaze Kuwa na Watu wa Kupelekea Magazeti kwa Ukawaida.” Omba wasikilizaji waeleze mambo yenye kufurahisha ambayo walikutana nayo.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Wimbo 106 na Sala