Programu ya Juma la Tarehe 9 Mwezi wa 11
JUMA LA TAREHE 9 MWEZI WA 11
Wimbo 48 na Sala
Funzo la Biblia la Kutaniko:
ia sura ya 2 fu. 1-12 (Dak. 30)
Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Mambo ya Nyakati 21-25 (Dak. 8)
Na. 1: 1 Mambo ya Nyakati 23:1-11 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Elisha—Kichwa: Uwaheshimu Sana Watumishi wa Yehova—it-1-F uku. 726-730 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Kweli, Har-magedoni ni nini?—w12 1/2 uku. 5-7 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.”—1 Kor. 3:6.
Wimbo 98
Dak. 10: “Mimi nilipanda, Apolo akatia maji, lakini Mungu akaendelea kuikuza.” Hotuba yenye kutegemea tungo la mwezi. (1 Kor. 3:6) Ikiwezekana, zungumuzia pia mawazo fulani yenye kupatikana katika Munara wa Mulinzi wa tarehe 01/03/1993 uku. 20-23. Zungumuzia kwa kifupi sehemu fulani za Mukutano wa Utumishi wa mwezi huu na uonyeshe namna gani zinapatana na tungo la mwezi.
Dak. 20: “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Tuwatolee Watu Kitabu Biblia Inafundisha.” Mazungumuzo. Mufanye maonyesho mafupi mawili. Katika onyesho la kwanza muhubiri anatumia mapendekezo ya habari hii na katika onyesho la pili muhubiri anatumia njia yake yenye kuleta matokeo mazuri.
Wimbo 111 na Sala