Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 2 uku. 2
  • Tarehe 1-7/02

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 1-7/02
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Vichwa Vidogo
  • MAISHA YA MUKRISTO
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 2 uku. 2

Tarehe 1-7/02

Nehemia 1-4

  • Wimbo 126 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3 )

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Nehemia Alipenda Ibada ya Kweli”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Nehemia.]

    • Neh 1:11–2:3—Nehemia alikuwa mwenye furaha kwa sababu alisaidia ibada ya kweli isonge mbele (w06 1/2 uku. 9 fu. 7)

    • Neh 4:14—Nehemia alishinda watu wenye walipinga ibada ya kweli kwa sababu alimutegemea Yehova (w06 1/2 uku. 10 fu. 3)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Neh 1:1; 2:1—Sababu gani tunaweza kusema kwamba “mwaka wa 20” wenye kutajwa katika Nehemia 1:1 na 2:1 unahesabiwa kuanzia wakati mumoja? (w06 1/2 uku. 8 fu. 5)

    • Neh 4:17, 18—Wakati wa kujenga upya Yerusalemu, namna gani mutu angeweza kufanya kazi kwa kutumia mukono mumoja tu? (w06 1/2 uku. 9 fu. 1)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Neh 3:1-14 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kuanzisha Mazungumuzo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo na kisha, muzungumuzie mambo makubwa ya kila video. Ukazie namna muhubiri alifanya ili kumutayarisha musikilizaji kwa ajili ya kumurudilia siku ingine. Uwatie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 103

  • Ujitayarishe Kuanzia Sasa Kuwa Painia Musaidizi Katika Mwezi wa 3 ao wa 4: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muchunguze mambo ya maana katika habari “Ongeza Furaha Yako Katika Kipindi cha Ukumbusho!” (km 2/14 uku. 2) Onyesha lazima ya kujitayarisha mbele ya wakati. (Met 21:5) Uliza maulizo wale wenye wamekuwa mapainia wasaidizi katika kipindi cha Ukumbusho. Walipambana na magumu gani? Walipata furaha gani?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 8 fu. 1-16 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 135 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine