Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 2 uku. 3
  • Tarehe 8-14/02

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 8-14/02
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Vichwa Vidogo
  • MAISHA YA MUKRISTO
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 2 uku. 3

Tarehe 8-14/02

Nehemia 5-8

  • Wimbo 123 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Nehemia Alikuwa Musimamizi Muzuri Kabisa”: (Dak. 10)

    • Neh 5:1-7—Nehemia alisikiliza watu na aliwasaidia (w06 1/2 uku. 9 fu. 2)

    • Neh 5:14-19—Nehemia alionyesha unyenyekevu, busara, na hakukuwa na uchoyo (w06 1/2 uku. 10 fu. 4)

    • Neh 8:8-12—Nehemia alitegemeza kazi ya kufundisha watu kiroho (w06 1/2 uku. 11 fu. 4)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Neh 6:5—Sababu gani Sanbalati alimutumia Nehemia “barua iliyokuwa wazi?” (w06 1/2 uku. 9 fu. 3)

    • Neh 6:10-13—Sababu gani Nehemia alikataa shauri la Shemaya? (w07 1/7 uku. 30 fu. 15)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Neh 6:14–7:7a (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Umutolee mutu gazeti Amuka! ya sasa kwa kutumia habari kubwa. Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mufanye onyesho la kumurudilia mutu huyo mwenye alipendezwa. Muhubiri amutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) Mufanye onyesho la namna ya kuongoza funzo la Biblia. (bh uku. 28-29 fu. 4-5)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 62

  • ‘Unajitahidi Kufikia’ Madaraka?: (Dak. 15) Hotuba. Itolewe na muzee wa kutaniko. Inategemea Munara wa Mulinzi wa tarehe 15/09/2014, uku. 3-6. Muangalie video Ndugu—Mujikaze Kufikia Madaraka kwa Ajili ya Kazi Njema, yenye ilitokea kwenye JW Télédiffusion ya Mwezi wa 12, 2015. Onyesha lazima ya kujikaza kufikia madaraka na namna ya kuyafikia. Kwa upole, uwatie moyo ndugu wajikaze kuonyesha sifa zenye kufaa ili kufikia kuwa watumishi wa huduma na wazee.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 8 uku. 17-27, mambo ya kujikumbusha kwenye uku. 75 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 125 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine