Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 2 uku. 4
  • Tarehe 15-21/02

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 15-21/02
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 2 uku. 4

Tarehe 15-21/02

Nehemia 9-11

  • Wimbo 84 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Waabudu Waaminifu Wanategemeza Mipango ya Kiteokrasi”: (Dak. 10)

    • Neh 10:28-30—Walikubali kwamba hawatafunga tena ndoa na ‘watu wa inchi’ (w98 15/10 uku. 21 fu. 11)

    • Neh 10:32-39—Waliamua kuendelea kutegemeza ibada ya kweli katika njia mbalimbali (w98 15/10 uku. 21 fu. 11-12)

    • Neh 11:1, 2—Walikubali kutegemeza mupango wa kiteokrasi wa pekee (w06 1/2 uku. 11 fu. 6; w98 15/10 uku. 22 fu. 13)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Neh 9:19-21—Namna gani Yehova alionyesha kwamba anahangaikia sana watumishi wake? (w13 15/9 uku. 9 fu. 9-10)

    • Neh 9:6-38—Walawi walituachia mufano gani muzuri kuhusu sala? (w13 15/10 uku. 22-23 fu. 6-7)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hii unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hii ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: Neh 11:15-36 (Isipite dak. 4)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Umutolee mutu Amuka! ya sasa kwa kutumia habari “Musaada kwa Familia—Namna ya Kupata Marafiki wa Kweli.” Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Mufanye onyesho la kumurudilia mutu huyo mwenye alipendezwa. Muhubiri amutayarishe kwa ajili ya mazungumuzo ya siku ingine.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) Mufanye onyesho la namna ya kuongoza funzo la Biblia. (bh uku. 32-33 fu. 13-14)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 19

  • “Maisha Bora Zaidi”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muanze kwa kuonyesha video. Kisha, mujibie maulizo. Kwa kifupi, umuulize maulizo muhubiri (mwenye kwa sasa amefunga ndoa ao hapana) mwenye, kwa miaka mingi alikubali kuwa pasipo bibi ao bwana ili kumutumikia Yehova zaidi. (1Kor 7:35) Alipata baraka gani?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: ia sura ya 9 fu. 1-13 (Dak. 30)

  • Rudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza kisha zungumuzia kwa kifupi mambo yenye mutajifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 76 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine