UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 9-11
Waabudu Waaminifu Wanategemeza Mipango ya Kiteokrasi
Watumishi wa Mungu walikubali kutegemeza ibada ya kweli katika njia mbalimbali
Taifa lilijitayarisha ili kukumbuka Sikukuu ya Vibanda kwa njia yenye kufaa.
Kila siku, watu walikusanyika ili kusikiliza usomaji wa Sheria ya Mungu; jambo hilo liliwafurahisha.
Watu walitubu zambi zao, walisali, na waliomba Yehova awabariki.
Watu walikubali kuendelea kutegemeza mipango yote ya kiteokrasi.
Waliendelea kutegemeza mipango ya kiteokrasi kwa:
Kufunga ndoa na watu wenye kumuabudu Yehova tu
Kutoa michango ya feza
Kushika Sabato
Kuleta kuni kwa ajili ya mazabahu
Kumutolea Yehova mazao ya kwanza ya mavuno na muzaliwa wa kwanza wa wanyama wao