UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 5-8
Nehemia Alikuwa Musimamizi Muzuri Kabisa
Tishri 455 M.K.Y.
8:1-18
Wakati huu, inawezekana Nehemia aliongoza watu ili wakusanyike kwa ajili ya ibada ya kweli
Watu walifurahi sana
Wanaume wenye walikuwa vichwa vya makabila walikusanyika ili kuona namna gani taifa linaweza kufuata muzuri zaidi Sheria ya Mungu
Watu walijitayarisha ili kukumbuka kwa furaha Sikukuu ya Vibanda