Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 2 uku. 6
  • Mambo Fulani Yenye Tunajifunza Katika Kitabu cha Nehemia

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Mambo Fulani Yenye Tunajifunza Katika Kitabu cha Nehemia
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumetakaswa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • “Unikumbuke Kwa Ajili ya Wema, Ee Mungu Wangu”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2011
  • Kuta za Yerusalemu
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 2 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | NEHEMIA 12-13

Mambo Fulani Yenye Tunajifunza Katika Kitabu cha Nehemia

Nehemia alitetea ibada ya kweli kwa bidii

13:4-9, 15-21, 23-27

Nehemia anatupa inje vitu vyote vya Tobia inje ya chumba cha kukulia cha hekalu
  • Tobia alikuwa mupinzani na hakumuabudu Yehova, lakini Kuhani Mukubwa Eliashibu aliruhusu Tobia amuchochee

  • Eliashibu alimupatia Tobia nafasi katika chumba kimoja cha kukulia chakula cha hekalu

  • Nehemia alitupa inje vitu vyote vya Tobia, alitakasa chumba hicho, na alifanya kitumiwe tena namna kilipaswa kutumiwa

  • Nehemia aliendelea kuondoa mambo yote machafu katika Yerusalemu

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine