Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 7 uku. 7
  • Tarehe 25-31 Mwezi wa 7

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 25-31 Mwezi wa 7
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 7 uku. 7

Tarehe 25-31/07

Zaburi 79-86

  • Wimbo 138 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Mutu wa Maana Sana Katika Maisha Yako Ni Nani?”: (Dak. 10)

    • Zab 83:1-5—Jambo la maana sana katika maisha yetu ni kutakasa jina la Yehova na kuunga mukono haki yake ya kutawala ulimwengu wote muzima (w08 15/10 uku. 13 fu. 7-8)

    • Zab 83:16—Uvumilivu na ushikamanifu wetu vinamuletea Yehova sifa (w08 15/10 uku. 15 fu. 16)

    • Zab 83:17, 18—Yehova ndiye mutu wa maana sana katika ulimwengu wote muzima (w11 15/5 uku. 16 fu. 1-2; w08 15/10 uku. 15-16 fu. 17-18)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Zab 79:9—Andiko hili linatufundisha nini juu ya sala zetu? (w06 15/7 uku. 12 fu. 5)

    • Zab 86:5—Ni katika njia gani Yehova iko “tayari kusamehe”? (w06 15/7 uku. 12 fu. 9)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 85:8–86:17

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) fg somo la 7 fu. 1

  • Kumlurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) fg somo la 7 fu. 3

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 7 fu. 7-8

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 111

  • Mungu Ana Jina?: (Dak. 15) Muanze kwa kuangalia video Mungu Ana Jina? yenye kuwa kwenye jw.org. (Fungua VICHAPO > VITABU NA BROSHUA. Kisha fungua broshua Habari Njema. Video hii inapatikana kwenye somo lenye kichwa “Mungu Ni Nani?”) Kisha muchunguze maulizo haya: Namna gani tunaweza kutumia video hii wakati tunahubiri mahali pa watu wengi, nyumba kwa nyumba, na wakati hatukupanga kuhubiri? Mumepata matokeo gani mazuri kwa kutumia video hii?

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 20 fu. 14-26, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 179

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 143 na Sala

    Tafazali musikilize kwanza muziki wote wa wimbo huo mara moja, na kisha kutaniko liimbe wimbo huo mupya.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine