UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 74-78
Kumbuka Kazi za Yehova
Ni jambo la maana kuendelea kuwaza sana juu ya mambo yenye Yehova amefanya
Kuendelea kuwaza sana juu ya mambo yenye tunasoma katika Neno la Mungu kunatusaidia kuyaelewa na kuwa na shukrani kubwa sana kwa chakula cha kiroho
Kuwaza sana juu ya Yehova kunatusaidia tukumbuke kazi zake zenye kushangaza na tumaini lenye ametutolea
Kati ya kazi za Yehova kuko:
Uumbaji
—Wakati tunaendelea kujifunza juu ya uumbaji wa Yehova, tunaendelea kumuheshimia zaidi
Wanaume wenye ameweka ili kuongoza kutaniko
—Tunapaswa kutii wanaume wenye Yehova amechagua ili kuongoza kutaniko
Matendo ya wokovu
Kuendelea kukumbuka matendo ya Yehova ya wokovu kunatufanya tukuwe hakika kabisa kama anatamani kuhangaikia watumishi wake na ana uwezo wa kufanya hivyo