UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 142-150
‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’
Kuona namna ukubwa wa Yehova hauna mipaka kulichochea Daudi amusifu milele
Kama Daudi, kila mara watumishi washikamanifu wa Yehova wanazungumuza juu ya ukubwa wake wakati wanaongea na wengine
Daudi alikuwa hakika kama Yehova iko na uwezo wa kuhangaikia watumishi wake na anapenda kufanya hivyo