Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 9 uku. 6
  • ‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Tumusifu Yehova Mungu Wetu!
    ‘Tumuimbie Yehova kwa Furaha’
  • Yehova Anastahili Kusifiwa Sana
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
  • Maulizo ya Wasomaji Wetu
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2022
  • Tumsifu Yehova Kila Siku
    Huduma Yetu ya Ufalme—2009
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 9 uku. 6

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 142-150

‘Yehova Ni Mukubwa na wa Kusifiwa Sana’

145:1-5

Mbingu zenye nyota

Kuona namna ukubwa wa Yehova hauna mipaka kulichochea Daudi amusifu milele

145:10-12

Kama Daudi, kila mara watumishi washikamanifu wa Yehova wanazungumuza juu ya ukubwa wake wakati wanaongea na wengine

Familia ya wakati wa zamani inaangalia mbingu zenye nyota

145:14

Mutu anakamata mukono wenye kumusaidia

Daudi alikuwa hakika kama Yehova iko na uwezo wa kuhangaikia watumishi wake na anapenda kufanya hivyo

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine