Tarehe 5-11/09
Zaburi 119
Wimbo 48 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’: (Dak. 10)
Zab 119:1-8—Ili kuwa na furaha ya kweli tunapaswa kutembea katika sheria ya Yehova (w05 15/4 uku. 10 fu. 3-4)
Zab 119:33-40—Neno la Mungu linatupatia nguvu yenye tuko nayo lazima ili kupambana na majaribu (w05 15/4 uku. 12 fu. 12)
Zab 119:41-48—Kuwa na ujuzi wa kweli juu ya Neno la Mungu kunatusaidia kuhubiri bila woga (w05 15/4 uku. 13 fu. 13-14)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Zab 119:71—Kuteseka kuna faida gani? (w06 1/9 uku. 14 fu. 4)
Zab 119:96—Maneno “mwisho wa ukamilifu wote” yanamaanisha nini? (w06 1/9 uku. 14 fu. 5)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 119:73-93
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: ( Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa. Uwatie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 69
“Tutafanya Nini Kama Mutoto Ndiye Anatukaribisha?”: (Dak. 5) Hotuba.
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 10) Ikiwa munapenda munaweza kuzungumuzia mambo yenye mumejifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb16 59-62)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia sura ya 23 fu. 15-29, mambo ya kukumbuka kwenye uku. 204
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 13 na Sala