UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 119
‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’
Kutembea katika sheria ya Yehova kunamaanisha kuacha Yehova atuongoze. Biblia ina mifano ya watu wengi wenye walifuata sheria ya Yehova na kumutegemea kama vile muandikaji wa zaburi.
Ili kuwa na furaha ya kweli tunapaswa kutembea katika sheria ya Mungu
Yoshua alionyesha kama alitumainia kabisa muongozo wa Yehova. Alijua kama ili akuwe na furaha na maisha mazuri alipaswa kumutegemea Yehova kwa moyo wote
Neno la Mungu linatupatia nguvu yenye tuko nayo lazima ili kupambana na majaribu katika maisha
Yeremia alitenda bila kuogopa na alimutegemea Yehova wakati alipambana na hali ngumu. Aliendelea kuwa na maisha mepesi na kufanya kazi yenye Mungu alikuwa amemupatia
Ujuzi wa kweli juu ya Neno la Mungu unatusaidia kuhubiri bila woga
Paulo hakuogopa kuhubiria kila mutu Neno la Mungu. Wakati alihubiria Gavana Felix, alikuwa hakika kama Yehova atamusaidia
Ni katika hali gani ninaweza kuhubiria wengine bila woga wakati niko. . .
Kwenye Masomo
Kwenye Kazi
Katika familia
Mahali pengine