Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 9 uku. 3
  • ‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 9 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 119

‘Tembea Katika Sheria ya Yehova’

Kutembea katika sheria ya Yehova kunamaanisha kuacha Yehova atuongoze. Biblia ina mifano ya watu wengi wenye walifuata sheria ya Yehova na kumutegemea kama vile muandikaji wa zaburi.

Muandikaji mumoja wa zaburi anatembea kwa kutumia fimbo

Ili kuwa na furaha ya kweli tunapaswa kutembea katika sheria ya Mungu

119:1-8

Yoshua anasoma katika kitabu cha kukunjwa

Yoshua alionyesha kama alitumainia kabisa muongozo wa Yehova. Alijua kama ili akuwe na furaha na maisha mazuri alipaswa kumutegemea Yehova kwa moyo wote

Neno la Mungu linatupatia nguvu yenye tuko nayo lazima ili kupambana na majaribu katika maisha

119:33-40

Yeremia anasali

Yeremia alitenda bila kuogopa na alimutegemea Yehova wakati alipambana na hali ngumu. Aliendelea kuwa na maisha mepesi na kufanya kazi yenye Mungu alikuwa amemupatia

Ujuzi wa kweli juu ya Neno la Mungu unatusaidia kuhubiri bila woga

119:41-48

Paulo anahubiria Gavana Felix

Paulo hakuogopa kuhubiria kila mutu Neno la Mungu. Wakati alihubiria Gavana Felix, alikuwa hakika kama Yehova atamusaidia

Muandikaji mumoja wa zaburi anatembea kwa kutumia fimbo

Ni katika hali gani ninaweza kuhubiria wengine bila woga wakati niko. . .

  • Kwenye Masomo

  • Kwenye Kazi

  • Katika familia

  • Mahali pengine

Zaburi ya 119 imepangwa kulingana na herufi za alfabeti. Pengine hilo lilisaidia watu waichunge katika akili. Zaburi hii iko na sehemu 22, na kila sehemu iko na maandiko 8. Katika kila sehemu kila andiko linaanza na herufi ileile ya alfabeti ya Kiebrania. Kwa sababu luga ya Kiebrania iko na herufi 22, zaburi ya 119 iko na maandiko 176 na hilo linafanya ikuwe zaburi ndefu zaidi katika Biblia.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine