Tarehe 12-18/09
Zaburi 120-134
Wimbo 33 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
‘Musaada Wangu Unatoka kwa Yehova’: (Dak. 10)
Zab 121:1, 2—Tunamutumainia Yehova kwa sababu aliumba kila kitu (w04 15/12 uku. 12 fu. 3)
Zab 121:3, 4—Yehova anajua mambo yenye watumishi wake wako nayo lazima (w04 15/12 uku. 12 fu. 4)
Zab 121:5-8—Yehova anaendelea kulinda watumishi wake (w04 15/12 uku. 13 fu. 5-7)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Zab 123:2—Mufano juu ya “macho ya watumishi” unamaanisha nini? (w06 1/9 uku. 15 fu. 4)
Zab 133:1-3—Ni shauri gani linapatikana katika andiko hili? (w06 1/9 uku. 16 fu. 3)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Zab 127:1–129:8
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) wp16.5 habari kubwa—Kujibia musikilizaji mwenye kukasirika.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4)wp16.5 habari kubwa—Ualike musikilizaji kwenye mikutano.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) fg somo la 8 fu. 6—Saidia mwanafunzi atumikishe habari yenye munajifunza.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 114
Yehova Amenifanyia Mambo Mengi Sana: (Dak. 15) Muangalie video Yehova Amenifanyia Mambo Mengi Sana yenye kuwa kwenye jw.org. (Fungua HABARI JUU YETU > KAZI ZETU.) Muzungumuzie maulizo haya: Namna gani Yehova amesaidia dada Crystal, na namna gani hilo limemutia nguvu? Anafanya nini wakati anavunjika moyo? Mufano wa dada Crystal umekusaidia namna gani?
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) ia Maneno ya Kumalizia fu. 1-13.
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 119 na Sala