UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZABURI 120-134
‘Musaada Wangu Unatoka kwa Yehova’
Zaburi ya 120 mupaka 134 zinaitwa Nyimbo za Mipando. Watu wengi wanawaza kama ziliimbwa na Waisraeli wenye furaha wakati walikuwa wanapanda Yerusalemu ili kufanya sikukuu za kila mwaka; Yerusalemu ilipatikana juu kwenye milima ya Yuda.
Maneno haya ya mufano yanaonyesha namna Yehova analinda watumishi wake . . .
muchungaji mwenye hawezi kulala
kivuli wakati wa jua
askari mushikamanifu