Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 12 uku. 2
  • Tarehe 5-11 Mwezi wa 12

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 5-11 Mwezi wa 12
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 12 uku. 2

Tarehe 5-11/12

ISAYA 1-5

  • Wimbo 107 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Tupande Kwenye Mulima wa Yehova”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video Utangulizi wa kitabu cha Isaya.]

    • Isa 2:2, 3—‘Mulima wa nyumba ya Yehova’ unamaanisha ibada safi (ip-1 uku. 38-41 fu. 6-11; uku. 44-45 fu. 20-21)

    • Isa 2:4—Waabudu wa Yehova hawajifunze vita tena (ip-1 uku. 46-47 fu. 24-25)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Isa 1:8, 9—Ni katika njia gani binti Sayuni “ameachwa akiwa amebaki kama kibanda katika shamba la mizabibu”? (w06 1/12 uku. 8 fu. 5)

    • Isa 1:18— “Nasi tunyooshe mambo kati yetu;” maneno haya ya Yehova yanamaanisha nini? (w06 1/12 uku. 9 fu. 1; it-2-F uku. 735 fu. 1)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Isa 5:1-13

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15: ( Mazungumuzo. Muangalie video zenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo,” kisha muzungumuzie mambo makubwa. Uwatie moyo wahubiri waandike namna wanaweza pia kuanzisha mazungumuzo.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 139

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 7) Kama munapenda munaweza kuzungumuzia habari zenye kupatikana katika Kitabu cha Mwaka (yb16 uku. 32 fu. 3–uku. 34 fu. 1)

  • “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri —Tumia Kitabu ‘Mubaki Katika Upendo wa Mungu’ ili Kugusa Mioyo ya Wanafunzi”: (Dak. 8) Mazungumuzo. Utie moyo wanafunzi wenye katika mwezi huu wako na mugawo wa kuongoza funzo la Biblia watumikishe mashauri yenye kupatikana katika kitabu Shule ya Huduma kwenye ukurasa wa 261-262.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 5 fu. 1-9

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 154 na Sala

    Tafazali, musikilize kwanza muziki wote wa wimbo huo mara moja, na kisha kutaniko liimbe wimbo huo mupya.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine