Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 12 uku. 3
  • “Tupande Kwenye Mulima wa Yehova”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Tupande Kwenye Mulima wa Yehova”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 12 uku. 3

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ISAYA 1-5

“Tupande Kwenye Mulima wa Yehova”

2:2, 3

“Katika siku za mwisho”

Wakati wetu

“Mulima wa nyumba ya Yehova”

Ibada safi ya Yehova yenye imesimamishwa juu

“Mataifa yote yatamiminika [yatapanda] huko”

Wale wenye wanakubali ibada safi wanakusanyika katika umoja

“Mukuye, tupande ‘kwenye mulima wa Yehova”

Waabudu wa kweli wanaalika wengine wajiunge nao

“Atatufundisha njia zake, nasi tutatembea katika mapito yake”

Kupitia Neno lake, Yehova anatufundisha na anatusaidia tutembee katika mapito yake

Watu wa mataifa yote wanapanda kwenye mulima wa Yehova

2:4

“Wala hawatajifunza vita tena”

Isaya alionyesha namna silaha za vita zingegeuzwa kuwa vyombo vya kulima navyo; hilo lilionyesha kama watu wa Mungu wangeishi kwa amani. Isaya anataja vyombo gani?

‘Mikuki yao ikuwe miundu’

1 Jembe ilikuwa sehemu ya chombo fulani cha kulimia yenye ilikuwa inakata udongo. Jembe fulani zilikuwa za chuma.—1Sam 13:⁠20

‘Panga zao zikuwe majembe’

2 Pengine mundu ilikuwa chombo cha chuma chenye makali na chenye kuwa na mupini mahali pa kukamatia. Chombo hicho kilitumiwa ili kukata mizabibu.—Isa 18:5

Mupanga na mukuki
Jembe na mundu
    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine