Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb16 Mwezi wa 12 uku. 2
  • Tumia Kitabu “Mubaki Katika Upendo wa Mungu” ili Kugusa Mioyo ya Wanafunzi

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tumia Kitabu “Mubaki Katika Upendo wa Mungu” ili Kugusa Mioyo ya Wanafunzi
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Saidia Mwanafunzi Wako wa Biblia Afikie Kubatizwa
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2021
  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa—Sehemu ya Pili
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • Namna ya Kusaidia Wanafunzi wa Biblia Wafikie Kubatizwa—Sehemu ya Kwanza
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
  • “Kwa Hiyo, Muende, na Mufanye Wanafunzi”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2020
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2016
mwb16 Mwezi wa 12 uku. 2

MAISHA YA MUKRISTO

TUKOMALISHE UFUNDI WETU WA KUHUBIRI—Tumia Kitabu “Mubaki Katika Upendo wa Mungu” ili Kugusa Mioyo ya Wanafunzi”

SABABU GANI NI LAZIMA KUFANYA HIVYO: Watu wanapaswa kujifunza kanuni za Yehova na kuzitumikisha ili wamuabudu kwa njia yenye kumupendeza. (Isa 2:3, 4) Kitabu “Upendo wa Mungu”, kitabu chetu cha pili cha kujifunza na watu, kinasaidia wanafunzi wa Biblia waelewe namna ya kutumikisha kanuni za Mungu katika maisha yao ya kila siku. (Ebr 5:14) Wakati tunawafundisha, tunapaswa kujikaza kugusa mioyo yao, ili wafikie kufanya mabadiliko.—Rom 6:17.

Dada anaongoza funzo la Biblia

NAMNA YA KUFANYA:

  • Ujitayarishe muzuri ukifikiria mwanafunzi wako. Uliza maulizo yenye kumuchochea aeleze mawazo yake ya ndani juu ya mambo munajifunza.—Met 20:5; be uku. 259

  • Tumia visanduku vyenye kuwa katika kitabu ili umusaidie mwanafunzi aone faida ya kutumikisha kanuni za Biblia

  • Umusaidie mwanafunzi wako afikiri juu ya maamuzi yenye kuhusu zamiri, lakini usiamue pa nafasi yake.—Gal 6:5

  • Ujaribu kutambua ikiwa mwanafunzi wako iko na lazima ya musaada ili kutumikisha kanuni fulani za Biblia. Kwa upole, umutie moyo afanye mabadiliko yenye kustahili kwa kuchochea upendo wake kwa Yehova.—Met 27:11; Yoh 14:31

Mwanafunzi anapaswa kumaliza kitabu “Upendo wa Mungu.” Hata kisha kubatizwa, munaweza kuendelea kujifunza naye na unapaswa kuendelea kuripoti saa, marudio, na funzo hilo mupaka mumalize kitabu.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine