Tarehe 6-12/03
YEREMIA 1- 4
Wimbo 23 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Niko Pamoja Nawe ili Kukukomboa”: (Dak. 10)
[Muangalie video Utangulizi wa Kitabu cha Yeremia.]
Yer 1:6—Yeremia alisita kukubali mugao wake mupya (w11 15/3 uku. 29 fu. 4)
Yer 1:7-10, 17-19—Yehova aliahidi kwamba atamutegemeza Yeremia na kumupa nguvu (w05 15/12 uku. 23 fu. 18; jr uku. 88 fu. 14-15)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Yer 2:13, 18—Waisraeli wenye hawakuwa waaminifu walifanya mambo gani mbili ya mubaya? (w07 15/3 uku. 9 fu. 8)
Yer 4:10—Ni katika maana gani Yehova ‘alidanganya’ watu wake? (w07 15/3 uku. 9 fu. 4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?
Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yer 4:1-10
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo yenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.” Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 149
Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Muangalie video Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo ya Mwezi wa 3.
Kampanye ya Ukumbusho Itaanza Tarehe 18 Mwezi wa 3: (Dak. 8) Hotuba. Itolewe na mwangalizi wa utumishi na itegemee Utumishi na Maisha ya Mukristo Buku la Mukutano la Mwezi wa 2, 2016, uku. 8. Kisha kupatia kila mutu mualiko wa Ukumbusho, muzungumuzie mambo yenye kuwa ndani. Eleza mipango yenye mumekamata ili kuhubiri eneo lenu lote.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 9 fu. 10-15, muchoro “Kuongezeka Kwa Mafunzo Ya Biblia,” na visanduku “Yehova Amefanya Iwezekane” na “Namna “Mudogo” Amekuwa “Taifa Lenye Nguvu””
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 74 na Sala