Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 3 uku. 3
  • Tarehe 13-19 Mwezi wa 3

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 13-19 Mwezi wa 3
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 3 uku. 3

Tarehe 13-19/03

YEREMIA 5-7

  • Wimbo 66 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu”: (Dak. 10)

    • Yer 6:13-15—Yeremia alionyesha waziwazi zambi zenye Waisraeli walifanya (w88-F 1/4 uku. 11-12 fu. 7-8)

    • Yer 7:1-7—Yehova alijaribu kuchochea Waisraeli watubu (w88-F 1/4 uku. 12 fu. 9-10)

    • Yer 7:8-15—Waisraeli waliwaza kama Yehova hangefanya kitu (jr uku. 21 fu. 12)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yer 6:16—Yehova aliwaomba watu wake wafanye nini? (w05 1/11 uku. 23 fu. 11)

    • Yer 6:22, 23—Sababu gani Yeremia alisema kama kikundi cha watu kingekuja ‘kutoka inchi ya kaskazini’? (w88-F 1/4 uku. 13 fu. 15)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili unanifundisha nini juu ya Yehova?

    • Ni mambo gani ya usomaji wa juma hili ninaweza kutumia katika mahubiri?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak.4) Yer 5:26–6:5

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) T-36—Umutayarishe kwa ajili ya kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) T-36—Muzungumuzie sehemu “Pengine Unajiuliza.” Umualike musikilizaji kwenye Ukumbusho.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) jl somo la 1—Umualike musikilizaji kwenye Ukumbusho.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 125

  • “Namna ya Kutumia Broshua Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?”: (Dak. 15) Muanze kwa kuzungumuzia habari hiyo kwa dakika tano. Kisha, muangalie na kuzungumuzia video yenye kuonyesha namna ya kuongoza funzo katika somo la 8 la broshua. Utie moyo wahubiri wasisahau kuchunguza pamoja na mwanafunzi broshua hii mbele ao kisha kila funzo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 9 fu. 16-21 na visanduku “Trakte Mbili Ziligusa Mioyo Ya Watu Wawili Katika Amazoni” na “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak.3)

  • Wimbo 10 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine