UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | YEREMIA5-7
Waliacha Kufanya Mapenzi ya Mungu
7:1-4, 8-10, 15
Yeremia alionyesha waziwazi zambi za Waisraeli na unafiki wao
Waisraeli waliona hekalu kama hirizi yenye ingewalinda kwa njia ya muujiza
Yehova aliwajulisha kwamba kutoa zabihu kila mara hakukufunika matendo yao mabaya
Ujiulize: Ibada yenye ninamutolea Yehova inapatana na mapenzi Yake ao imekuwa ya desturi tu?
Yeremia anasimama mbele ya mulango wa nyumba ya Yehova