UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 6-10
Utatiwa Alama ya Wokovu?
Maono ya Ezekieli yalitimia mara ya kwanza wakati muji wa Yerusalemu uliharibiwa. Yatatimia namna gani wakati wetu?
Mwanaume mwenye kuwa na kidau cha wino cha mwandishi anafananisha Yesu
Wale wanaume sita wenye kuwa na silaha za kuponda wanafananisha majeshi ya mbinguni yenye kuongozwa na Yesu
Watu wa mukutano mukubwa watatiwa alama ya wokovu wakati watahesabiwa kuwa kondoo katika ziki kubwa