Tarehe 26/06–2/07
EZEKIELI 6-10
Wimbo 141 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Utatiwa Alama ya Wokovu?”: (Dak. 10)
Eze 9:1, 2—Maono ya Ezekieli yanatufundisha mambo ya maana sana (w16.06 uku. 31-32)
Eze 9:3, 4—Wale wenye wamekubali habari njema watatiwa alama ya wokovu wakati fulani katika ziki kubwa
Eze 9:5-7—Yehova hataharibu watu wenye haki pamoja na watu wabaya
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Eze 7:19—Namna gani andiko hili linatusaidia kujitayarisha kwa ajili ya wakati unaokuja? (w09 15/9 uku. 23 fu. 10)
Eze 8:12—Namna gani andiko hili linaonyesha kama kukosa imani kunaweza kuongoza kwenye mwenendo mubaya? (w11 15/4 uku. 26 fu. 14)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 8:1-12
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Ufu 4:11—Fundisha Kweli.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Zab 11:5; 2Kor 7:1 —Fundisha Kweli.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 127 fu. 4-5—Onyesha namna ya kugusa moyo wa mwanafunzi.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 64
“Tegemeza Kanuni za Yehova za Mwenendo”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Ukuwe Rafiki ya Yehova—Mwanaume Moja kwa Ajili ya Mwanamuke Moja.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 14 fungu 8-14, “Alikufa ili Kumuletea Mungu Utukufu”
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 33 na Sala