Tarehe 4-10/09
EZEKIELI 42-45
Wimbo 26 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ibada Safi Inarudishwa!”: (Dak. 10)
Eze 43:10-12—Kusudi la maono ya Ezekieli ya hekalu ilikuwa kuchochea Wayahudi wenye walipelekwa Babiloni watubu na kuwahakikishia kama ibada safi ingerudishwa kwenye hali yake ya juu (w99 1/3 uku. 8 fu. 3; it-2 uku. 1052 fu. 8)
Eze 44:23—Makuhani walipaswa kuwafundisha watu “tofauti kati ya kitu kitakatifu na kitu najisi”
Eze 45:16—Watu walipaswa kutegemeza wale wenye Yehova alichagua kuwa viongozi (w99 1/3 uku. 10 fu. 10)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Eze 43:8, 9—Namna gani Waisraeli walichafua jina la Mungu? (it-2 uku 412 fu. 8)
Eze 45:9, 10—Yehova anataka tufanye nini ili atukubali? (it-2 uku. 87 fu. 2)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 44:1-9
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Tujitayarishe ili Kutolea Watu Vichapo Katika Mwezi Huu: (Dak. 15) Mazungumuzo yenye kutegemea sehemu “Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.” Muangalie video zenye kuonyesha namna ya kuanzisha mazungumuzo, kisha muzungumuzie mambo makubwa.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 143
“Sababu Gani Unaona Ibada Safi Kuwa ya Maana?”: (Dak. 15) Mazungumuzo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 fungu 10-18
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 115 na Sala