UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 42-45
Ibada Safi Inarudishwa!
Maono ya Ezekieli ya hekalu iliwahakikishia Wayahudi waaminifu wenye walirudia kwao kama ibada safi ingerudishwa. Iliwakumbusha pia kanuni za Yehova za juu kuhusu ibada safi.
Makuhani walipaswa kufundisha watu kanuni za Yehova
Andika mifano fulani yenye kuonyesha namna mutumwa mwaminifu na mwenye busara ametufundisha tofauti kati ya mambo machafu na mambo safi. (kr uku. 110-117)
Watu walipaswa kutegemeza wale wenye kuongoza
Andika namna gani tunaweza kutegemeza wazee katika kutaniko.