Tarehe 18-24/09
DANIELI 1-3
Wimbo 131 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Ushikamanifu kwa Yehova Unaleta Baraka”: (Dak. 10)
[Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Danieli.]
Dan 3:16-20—Marafiki watatu wa Danieli hawakukubali kuvunja ushikamanifu wao kwa Yehova (w15 15/7 uku. 20-21 fu. 15-16)
Dan 3:26-29—Ushikamanifu wao ulimuletea Yehova utukufu, na Yehova aliwabariki (w13 15/1 uku. 9-10 fu. 13)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Dan 1:5, 8—Sababu gani Danieli na marafiki wake watatu walifikia kuamua kama kula vyakula vitamu vya mufalme kungewachafua? (it-2 uku. 267 fu. 10)
Dan 2:44—Sababu gani Ufalme wa Mungu utaponda-ponda utawala mbalimbali wenye kufananishwa na sehemu mbalimbali za sanamu ya ndoto ya Nebukadneza? (w12 15/6 uku. 17, kisanduku; w01 15/10 uku. 6 fu. 4)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Dan 2:31-43
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Isa 40:22—Fundisha Kweli—Umutayarishe mutu ili kumurudilia.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Rom 15:4—Fundisha Kweli—Umuachie mutu karte za JW.ORG.
Hotuba: (Isipite dak. 6) w17.02 ukurasa wa 29-30—Kichwa: Yehova Anaamua Mbele ya Wakati Majaribu Yenye Tunaweza Kuvumilia na Kisha Anachagua Majaribu Yenye Yatatupata?
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 63
“Ubakie Mushikamanifu Wakati wa Majaribu”: (Dak. 8) Mazungumuzo.
“Ubakie Mushikamanifu Wakati Mutu wa Familia Anatengwa”: (Dak. 7) Mazungumuzo.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr “Sehemu ya 6—Kuunga Ufalme Mukono— Kazi ya Kujenga Mahalipa Ibada na Kutolea Ndugu Misaada Wakati wa Magumu,” sura ya 18 fungu 1-8
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 101 na Sala