UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | EZEKIELI 46-48
Baraka Zenye Waisraeli Wangepata Kisha Kurudishwa Katika Inchi yao
Maono ya Ezekieli ya hekalu ilitia moyo Waisraeli wenye walipelekwa Babiloni na iliwahakikishia kama wangerudishwa katika inchi yao kama vile unabii mbalimbali ulikuwa umesema. Wale wenye walibarikiwa na Yehova wangetia ibada safi pa nafasi ya kwanza.
Maono ilionyesha kwamba kutakuwa utaratibu, kuelewana, na usalama
Inchi ya muzuri, yenye kuzaa matunda
Uriti kwa ajili ya kila familia
Mbele ya kugawanya udongo, eneo fulani la pekee lilipaswa kutiwa pembeni ili likuwe ‘muchango’ kwa ajili ya Yehova
Ninaweza kuonyesha namna gani kama ibada ya Yehova iko pa nafasi ya kwanza katika maisha yangu? (w06 15/4 uku. 27-28 fu. 13-14)