Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb17 Mwezi wa 9 uku. 4
  • Tarehe 11-17 Mwezi wa 9

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 11-17 Mwezi wa 9
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
mwb17 Mwezi wa 9 uku. 4

Tarehe 11-17/09

EZEKIELI 46-48

  • Wimbo 134 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Baraka Zenye Waisraeli Wangepata Kisha Kurudishwa Katika Inchi yao”: (Dak. 10)

    • Eze 47:1, 7-12​—Inchi ingetoa tena chakula (w99 1/3 uku. 10 fu. 11-12)

    • Eze 47:13, 14​—Kila familia ingepata uriti (w99 1/3 uku. 10 fu. 10)

    • Eze 48:9, 10​—Mbele ya kugawanya udongo, eneo fulani la pekee lilipaswa kutiwa pembeni ili likuwe ‘muchango’ kwa ajili ya Yehova

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Eze 47:1, 8; 48:30, 32-34​—Sababu gani Wayahudi wenye walipelekwa Babiloni hawakutumaini kama kila jambo kuhusu maono ya Ezekieli ya hekalu lingetimia kwa njia ya kimwili? (w99 1/3 uku. 11 fu. 14)

    • Eze 47:6​—Sababu gani Ezekieli aliitwa “mwana wa binadamu”? (it-1 uku. 903 fu. 6)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 48:13-22

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) wp17.5 habari kubwa​—Umutayarishe mutu ili kumurudilia.

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) wp17.5​—Gazeti limekwisha kutolewa. Onyesha namna ya kumurudilia mutu na umuonyeshe kichapo kimoja cha funzo.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 34 fu. 17​—Umualike mwanafunzi kwenye mikutano.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 28

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8) Kama munapenda, munaweza kuzungumuzia mambo yenye munajifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 uku. 64-65)

  • Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Muangalie video Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo ya Mwezi wa 9.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 fungu 19-20, Kisanduku “Masomo Mbalimbali Ambayo Yanazoeza Wahubiri wa Ufalme,” maulizo ya kujikumbusha kwenye kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 11 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine