Tarehe 11-17/09
EZEKIELI 46-48
Wimbo 134 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Baraka Zenye Waisraeli Wangepata Kisha Kurudishwa Katika Inchi yao”: (Dak. 10)
Eze 47:1, 7-12—Inchi ingetoa tena chakula (w99 1/3 uku. 10 fu. 11-12)
Eze 47:13, 14—Kila familia ingepata uriti (w99 1/3 uku. 10 fu. 10)
Eze 48:9, 10—Mbele ya kugawanya udongo, eneo fulani la pekee lilipaswa kutiwa pembeni ili likuwe ‘muchango’ kwa ajili ya Yehova
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Eze 47:1, 8; 48:30, 32-34—Sababu gani Wayahudi wenye walipelekwa Babiloni hawakutumaini kama kila jambo kuhusu maono ya Ezekieli ya hekalu lingetimia kwa njia ya kimwili? (w99 1/3 uku. 11 fu. 14)
Eze 47:6—Sababu gani Ezekieli aliitwa “mwana wa binadamu”? (it-1 uku. 903 fu. 6)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Eze 48:13-22
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) wp17.5 habari kubwa—Umutayarishe mutu ili kumurudilia.
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) wp17.5—Gazeti limekwisha kutolewa. Onyesha namna ya kumurudilia mutu na umuonyeshe kichapo kimoja cha funzo.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 34 fu. 17—Umualike mwanafunzi kwenye mikutano.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 28
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8) Kama munapenda, munaweza kuzungumuzia mambo yenye munajifunza katika Kitabu cha Mwaka. (yb17 uku. 64-65)
Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Muangalie video Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo ya Mwezi wa 9.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 17 fungu 19-20, Kisanduku “Masomo Mbalimbali Ambayo Yanazoeza Wahubiri wa Ufalme,” maulizo ya kujikumbusha kwenye kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 11 na Sala