Tarehe 25/09–1/10
DANIELI 4-6
Wimbo 67 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Unaendelea Kumutumikia Yehova?”: (Dak. 10)
Dan 6:7-10—Danieli alitia uzima wake katika hatari ili aendelee kumutumikia Yehova (w10 15/11 uku. 6 fu. 16; w06 1/11 uku. 24 fu. 12)
Dan 6:16, 20—Mufalme Dario aliona namna Danieli alikuwa na urafiki wa sana pamoja na Yehova (w03 15/9 uku. 15 fu. 2)
Dan 6:22, 23—Yehova alimubariki Danieli kwa sababu aliendelea kumutumikia (w10 15/2 uku. 18 fu. 15)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Dan 4:10, 11, 20-22—Muti murefu sana katika ndoto ya Nebukadneza ulifananisha nini? (w07 1/9 uku. 18 fu. 5)
Dan 5:17, 29—Sababu gani Danieli alikataa kwanza zawadi za Mufalme Belshaza, lakini kisha akaziitika? (w88 1/10 uku. 30 fu. 3-5; dp uku. 109 fu. 22)
Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Dan 4:29-37
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) inv
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) inv—Mualiko umekwisha kutolewa. Onyesha namna ya kumurudilia mutu.
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 120 fu. 16—Umutie moyo mwanafunzi abakie muaminifu hata kama mutu wa familia yake anamupinga.
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 139
“Uwazoeze ili Waendelee Kumutumikia Yehova”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Kisha, muangalie na kuzungumuzia video yenye kuonyesha muhubiri mwenye uzoefu anahubiri pamoja na muhubiri mupya.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) kr sura ya 18 fungu 9-20, Kisanduku “Michango yetu ya Kujipendea Inatumiwa Namna Gani?,” maulizo ya kujikumbusha kwenye kisanduku “Ufalme Ni Jambo la Kweli Kwako?”
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 73 na Sala