MAISHA YA MUKRISTO
Ubakie Mushikamanifu Wakati Mutu wa Familia Anatengwa
Muangalie video Tegemeza kwa Ushikamanifu Kanuni za Yehova—Epuka Watenda Zambi Wenye Wanakataa Kutubu, kisha mujibie maulizo haya:
Ni hali gani ilijaribu ushikamanifu wa wazazi wa Sonia?
Ni nini iliwasaidia waendelee kuwa washikamanifu?
Namna gani ushikamanifu wao kwa Yehova ulimusaidia Sonia?