UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | ZEKARIA 1-8
“Tukamate Nguo ya Muyahudi”
Watu kumi wa luga zote za mataifa watakamata nguo ya Muyahudi na kusema: “Tutakwenda pamoja nanyi.” Katika siku hizi za mwisho, watu wa mataifa yote wanajiunga na Wakristo watiwa-mafuta ili kumuabudu Yehova.
Ni katika njia gani kondoo wengine wanategemeza watiwa-mafuta leo?
Wanajitoa kwa moyo wao wote katika kazi ya kuhubiri
Wanatoa michango kwa moyo wao wote ili kutegemeza kazi