Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 3 uku. 3
  • Tarehe 12-18 Mwezi wa 3

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 12-18 Mwezi wa 3
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 3 uku. 3

Tarehe 12-18/03

MATHAYO 22-23

  • Wimbo 30 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Tii Zile Amri Mbili Kubwa Zaidi”: (Dak. 10)

    • Mt 22:36-38​—Andiko hili linasema kama kutii ile amri kubwa zaidi na ya kwanza katika Sheria kunaomba pia nini? (“moyo,” “nafsi,” “akili” kwa ajili ya funzo kuhusu Mt 22:37, nwtsty-E)

    • Mt 22:39​—Amri kubwa zaidi ya pili katika Sheria ni gani? (“Ya pili,” “jirani” kwa ajili ya funzo Mt 22:39, nwtsty-E)

    • Mt 22:40​—Maandiko yote ya Kiebrania inategemea upendo (“Sheria . . . Manabii,” “vinategemea” kwa ajili ya funzo Mt 22:40, nwtsty-E)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Mt 22:21​—“Vitu vya Kaisari” ni nini, na “vitu vya Mungu” ni nini? (“Kaisari vitu vya Kaisari,” “Mungu vitu vya Mungu” kwa ajili ya funzo Mt 22:21, nwtsty-E)

    • Mt 23:24​—Maneno haya ya Yesu inamaanisha nini? (“wenye kuchuya imbu lakini munameza ngamia” kwa ajili ya funzo Mt 23:24, nwtsty-E)

    • Usomaji wa Biblia wa juma hili umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho katika usomaji wa Biblia wa juma hili?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mt 22:1-22

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Ona Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 186-187 fu. 7-9​—Mwalimu anatia moyo mwanafunzi aalike kwenye Ukumbusho watu wenye anajua.

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 96

  • “Namna ya Kukomalisha Upendo Wetu kwa Mungu na kwa Jirani”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Ili kuonyesha faida ya kutumia uwezo wetu wa kuona habari za Biblia katika akili, musikilize Usomaji wa Biblia Unaochezwa wenye kichwa Yehova Peke Yake Ndiye Mungu wa Kweli, wakati wasikilizaji wanafuata usomaji wa 1 Wafalme 18:17-46 katika Biblia zao.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 12

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma lenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 52 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine