Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 9 uku. 2
  • Tarehe 3-9 Mwezi wa 9

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 3-9 Mwezi wa 9
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 9 uku. 2

Tarehe 3-9/09

YOHANA 1-2

  • Wimbo 13 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Yesu Anafanya Muujiza Wake wa Kwanza”: (Dak. 10)

    • [Muangalie video ya Utangulizi wa Kitabu cha Yohana.]

    • Yoh 2:1-3​—Hali fulani ilitokea ku karamu ya ndoa yenye pengine ingefanya bibi na bwana-arusi wakuwe na wasi-wasi na wapate haya (w15 15/6 uku. 4 fu. 3)

    • Yoh 2:4-11​—Muujiza wenye Yesu alifanya ulitia nguvu imani ya wanafunzi wake (jy uku. 41 fu. 6)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)

    • Yoh 1:1​—Kuko sababu gani zenye kuonyesha kama Yohana hakutaka kusema kama “Neno” alikuwa Mungu Mweza-yote? (“Neno,” “Pamoja na,” “Neno alikuwa mungu” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 1:1)

    • Yoh 1:29​—Sababu gani Yohana Mubatizaji alimuita Yesu “Mwana-Kondoo wa Mungu”? (“Mwana-Kondoo wa Mungu” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 1:29)

    • Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?

    • Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yoh 1:1-18

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza; Video: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 6) bh uku. 41 fu. 10-11

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 38

  • Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 8)

  • Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 7) Muangalie video Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo ya Mwezi wa 9.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 35 fu. 12-19

  • Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma yenye kufuata (Dak. 3)

  • Wimbo 121 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine