Tarehe 17-23/09
YOHANA 5-6
Wimbo 2 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Umufuate Yesu na Nia ya Muzuri”: (Dak. 10)
Yoh 6:9-11—Yesu alikulisha watu wengi kwa njia ya muujiza (“wanaume wakakaa, walikuwa karibu elfu tano (5 000)” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 6:10)
Yoh 6:14, 24—Watu walitambua kama Yesu alikuwa Masiya na kesho yake walimutafuta (“Nabii” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 6:14)
Yoh 6:25-27, 54, 60, 66-69—Kwa sababu watu walimufuata Yesu na wanafunzi wake na nia ya mubaya, maneno yake iliwakwaza (“chakula chenye kinaharibikaka . . . chakula chenye kinadumu kwa ajili ya uzima wa milele”; “anakula mwili wangu na kunywa damu yangu” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 6:27, 54; w05 1/9 uku. 21 fu. 13-14)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Yoh 6:44—Namna gani Baba anavuta watu kwake? (“amuvute” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 6:44)
Yoh 6:64—Ni katika maana gani Yesu alijua “tangu mwanzo” kama Yuda atamutoa? (“Yesu alijua . . . ule mwenye angemusaliti”; “tangu mwanzo” nwtsty kwa ajili ya funzo kuhusu Yoh 6:64)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Yoh 6:41-59
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Anza kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo. Mutu anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye kutumiwa sana mu eneo lenu.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Mwenye-nyumba anakuambia kama ni Mukristo.
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili; Video: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
MAISHA YA MUKRISTO
Ulipata Matokeo Gani?: (Dak. 5) Mazungumuzo. Omba wahubiri wazungumuzie matokeo yenye walipata wakati walijaribu kuanzisha mazungumuzo yenye iliwatolea nafasi ya kuhubiri.
“Chochote Hakikupotea”: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie sehemu ya video Kujenga kwa Kuheshimia Mazingira Kunamuletea Yehova Utukufu.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 35 fu. 28-36
Kurudilia kwa kifupi mambo yenye mumejifunza, na kuzungumuzia kwa kifupi mambo ya kujifunza juma yenye kufuata (Dak. 3)
Wimbo 89 na Sala