Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Mwezi wa 11 uku. 6
  • Kutaniko Mupya la Kikristo Linajaribiwa

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Kutaniko Mupya la Kikristo Linajaribiwa
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Stefano​—“Akiwa Amekubaliwa na Mungu na Akiwa Amejaa Nguvu”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
  • Yehova Anataka Tufanye Nini?
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2017
  • Roho Takatifu Inashuka juu ya Kutaniko la Kikristo
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
  • “Mupaka Kwenye Sehemu ya Mbali Zaidi ya Dunia”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” juu ya Ufalme wa Mungu
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2018
mwb18 Mwezi wa 11 uku. 6
Wanamuua Stefano kwa kumupiga majiwe na Sauli anawaunga mukono

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 6-8

Kutaniko Mupya la Kikristo Linajaribiwa

6:1-7; 7:58–8:1

Wajane wenye kuzungumuza Kigiriki wenye walitoka tu kubatizwa walibakia Yerusalemu wakati murefu zaidi kuliko vile walipanga, walianza kubaguliwa. Je, ile ilifanya wakwazike, ao kwa uvumilivu waliendelea kungojea Yehova atengeneze mambo?

Kisha Stefano kupigwa majiwe, na mateso makali kufanya Wakristo wa Yerusalemu wakimbilie mu maeneo mbalimbali ya Yudea na Samaria, je walipunguza bidii yao ya kuhubiri?

Kwa musaada wa Yehova, kutaniko mupya la Kikristo lilivumilia na kukakuwa maendeleo.​—Mdo 6:7; 8:4.

UJIULIZE: ‘Namna gani ninapiganisha majaribu?’

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine