UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 6-8
Kutaniko Mupya la Kikristo Linajaribiwa
Wajane wenye kuzungumuza Kigiriki wenye walitoka tu kubatizwa walibakia Yerusalemu wakati murefu zaidi kuliko vile walipanga, walianza kubaguliwa. Je, ile ilifanya wakwazike, ao kwa uvumilivu waliendelea kungojea Yehova atengeneze mambo?
Kisha Stefano kupigwa majiwe, na mateso makali kufanya Wakristo wa Yerusalemu wakimbilie mu maeneo mbalimbali ya Yudea na Samaria, je walipunguza bidii yao ya kuhubiri?
Kwa musaada wa Yehova, kutaniko mupya la Kikristo lilivumilia na kukakuwa maendeleo.—Mdo 6:7; 8:4.
UJIULIZE: ‘Namna gani ninapiganisha majaribu?’