Tarehe 21-27/01
MATENDO 25-26
Wimbo 73 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Paulo Anaomba Aende Kusamba Mbele ya Kaisari na Kisha Anatolea Mufalme Herode Agripa Ushahidi”: (Dak. 10)
Mdo 25:11—Paulo alitumia haki yake ya kuwa mwanainchi wa Roma na akaomba aende kusamba mbele ya Kaisari (bt uku. 198 fu. 6)
Mdo 26:1-3—Paulo alitoa ushahidi wenye kusadikisha mbele ya Mufalme Herode Agripa (bt uku. 198-201 fu. 10-16)
Mdo 26:28—Maneno ya Paulo iligusa sana moyo ya mufalme (bt uku. 202 fu. 18)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 26:14—Muchokoo ni nini? (“kupiga-piga miguu kwenye michokoo” nwtsty, maelezo kuhusu Mdo 26:14; “Muchokoo,” nwt, maana ya maneno ya Biblia)
Mdo 26:27—Juu ya nini haikukuwa mwepesi kwa Mufalme Agripa kujibia wakati Paulo alimuuliza kama anaamini manabii? (w03 15/11 uku. 16-17 fu. 14)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mdo 25:1-12 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 5) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 2)
Kumurudilia Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Kisha uonyeshe mutu kitabu Biblia Inatufundisha. (th somo ya 3)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 38
“Guvernema Inaitika Kazi Yetu mu Quebec”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 51
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 122 na Sala