UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MATENDO 23-24
Alishitakiwa Kuwa Muleta-Muvurugo na Mwenye Kuchochea Uasi
Wayahudi wa Yerusalemu ‘walijifunga kwa kiapo’ juu waue Paulo. (Mdo 23:12) Lakini, Yehova alitaka Paulo aende Roma juu atoe ushahidi. (Mdo 23:11) Mutoto mwanaume wa dada yake na Paulo alisikia juu ya mupango ya kuua Paulo na akamuambia. Kwa hiyo, Paulo akaponyoka kifo. (Mdo 23:16) Hii habari inatufundisha nini juu ya . . .
jambo yenye inatokeaka wakati watu wanataka kupinga mapenzi ya Mungu?
njia yenye Mungu anaweza kutumia juu atusaidie?
kutenda bila kuogopa?