Tarehe 14-20/01
MATENDO 23-24
Wimbo 148 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Alishitakiwa Kuwa Muleta-Muvurugo na Mwenye Kuchochea Uasi”: (Dak. 10)
Mdo 23:12, 16—Mupango ya kuua Paulo ilishindwa (bt uku. 191 fu. 5-6)
Mdo 24:2, 5, 6—Musemaji wa mbele ya watu wote mwenye kuitwa Tertulo alishitaki Paulo mbele ya gavana wa Roma (bt uku. 192 fu. 10)
Mdo 24:10-21—Kwa heshima, Paulo alikatala ile mashitaka na akatoa ushahidi bila kuogopa (bt uku. 193-194 fu. 13-14)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Mdo 23:6—Sababu gani Paulo alijiita Mufarisayo? (“Mimi ni Mufarisayo” nwtsty, maelezo kuhusu Mdo 23:6)
Mdo 24:24, 27—Drusila alikuwa nani? (“Drusila” nwtsty, maelezo kuhusu Mdo 24:24)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mdo 23:1-15 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 1)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Mwenye-nyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 2)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Mwenye-nyumba anatokeza kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza mu eneo yenu. (th somo ya 3)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 77
Ripoti ya Mwaka wa Utumishi: (Dak. 15) Hotuba. Itolewe na muzee. Musome kwanza barua ya biro ya tawi kuhusu ripoti ya mwaka wa utumishi; kisha uulize maulizo wahubiri wenye ulichagua mbele ya wakati, waseme mambo fulani yenye kutia moyo yenye walijionea mu mwaka wa utumishi wenye umepita.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 50
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 128 na Sala