Tarehe 11-17/02
WAROMA 4-6
Wimbo 20 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mungu Anapendekeza Upendo Wake Mwenyewe Kwetu”: (Dak. 10)
Ro 5:8, 12—Yehova alitupenda “wakati tulikuwa tungali watenda-zambi” (w11 15/6 uku. 12 fu. 5)
Ro 5:13, 14—Zambi na kifo vilitawala kama mufalme (w11 15/6 uku. 12 fu. 6)
Ro 5:18, 21—Yehova alituma Mwana wake juu tupate uzima (w11 15/6 uku. 13 uku. 9-10)
Chimba Ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ro 6:3-5—Kubatizwa “katika Kristo Yesu” na kubatizwa “katika kifo chake” maana yake nini? (w08 15/6 uku. 29 fu. 7)
Ro 6:7—Juu ya nini wenye watafufuliwa hawatahukumiwa kulingana na zambi zenye walifanyaka mbele wakufe? (w14 1/6 uku. 11 fu. 1)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ro 4:1-15 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 4) Muangalie video na kuizungumuzia.
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 2) Tumia ukurasa wa 1. (th somo ya 4)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Onyesha namna ya kujibia kizuia-mazungumuzo chenye watu wanazoea kutokeza. (th somo ya 6)
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa 1. Kisha utolee musikilizaji kichapo kimoja mu Vyombo Vyetu vya Kufundishia. (th somo ya 9)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 107
Mahitaji ya Kutaniko: (Dak. 15)
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 54
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 97 na Sala