UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 7-8
“Kuhani Milele kwa Mufano wa Melkisedeki”
Namna gani Melkisedeki alimufananisha Yesu?
7:1—Kuhani na mufalme
7:3, 22-25—Hakuna habari yenye kuonyesha kama kuko mwenye alimutangulia ao mwenye alikamata nafasi yake kisha
7:5, 6, 14-17—Ni Yehova njo alimuweka kuwa kuhani. Hakukuwa kuhani juu baba yake alikuwaka kuhani
Juu ya nini tunaweza kusema kama ukuhani wa Kristo unapita ukuhani wa Haruni? (it-1-F uku. 1008 fu. 8-9)