Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb19 Mwezi wa 9 uku. 2
  • “Kuhani Milele kwa Mufano wa Melkisedeki”

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • “Kuhani Milele kwa Mufano wa Melkisedeki”
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2019
mwb19 Mwezi wa 9 uku. 2
Yesu iko mbinguni ku kiti chake cha ufalme na anakamata fimbo ya Ufalme

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | WAEBRANIA 7-8

“Kuhani Milele kwa Mufano wa Melkisedeki”

7:1-3, 17

Namna gani Melkisedeki alimufananisha Yesu?

  • 7:1​—Kuhani na mufalme

  • 7:3, 22-25​—Hakuna habari yenye kuonyesha kama kuko mwenye alimutangulia ao mwenye alikamata nafasi yake kisha

  • 7:5, 6, 14-17​—Ni Yehova njo alimuweka kuwa kuhani. Hakukuwa kuhani juu baba yake alikuwaka kuhani

Kuhani mukubwa katika Israeli anavaa nguo zake za ukuhani

Juu ya nini tunaweza kusema kama ukuhani wa Kristo unapita ukuhani wa Haruni? (it-1-F uku. 1008 fu. 8-9)

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine