Tarehe 2-8/09
WAEBRANIA 7-8
Wimbo 16 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Isipite dak. 3)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Kuhani Milele kwa Mufano wa Melkisedeki”: (Dak. 10)
Ebr 7:1, 2—Melkisedeki, kuhani-mufalme, alikutana na Abrahamu na akamubariki (it-2 uku. 249)
Ebr 7:3—Melkisedeki ‘hakukuwa na ukoo’ na “anaendelea kuwa kuhani kwa wakati wote” (it-2 uku. 250 fu. 3)
Ebr 7:17—Yesu ni “kuhani milele kwa mufano wa Melkisedeki” (it-2 uku. 249)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 8)
Ebr 8:3—Kulikuwa tofauti gani kati ya zawadi na zabihu zenye zilitolewa chini ya Sheria ya Musa? (w00 15/8 uku. 14 fu. 11)
Ebr 8:13—Namna gani agano la Sheria lilifikia kuwa “lenye halifae tena” mu siku za Yeremia? (it-1 uku. 79 fu. 7)
Usomaji wa Biblia wa hii juma umekufundisha nini juu ya Yehova?
Umepata mali ingine gani ya kiroho mu usomaji wa Biblia wa hii juma?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Ebr 7:1-17 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Kutumia Muzuri Vitu vya Kuonyesha Wakati wa Kufundisha, na kisha muzungumuzie somo ya 9 ya broshua Kufundisha.
Hotuba: (Isipite dak. 5) it-1 uku. 80 fu. 5-7—Kichwa: Agano jipya ni nini? (th somo ya 7)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 124
Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 15) Muangalie video ya Mwezi wa 9 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo. Tia watu wote moyo watembelee makao yetu makubwa ao beteli ya kwenu kama inawezekana.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 82
Rudilia mambo fulani yenye mumejifunza, na useme mambo fulani ya kujifunza juma kesho (Dak. 3)
Wimbo 83 na Sala