Ndugu waaminifu wanaachiliwa huru kutoka mu kambi ya mateso mu inchi ya Ujerumani, mu mwaka wa 1945
Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo
●○○ KUMUTEMBELEA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Mungu anaona namna gani watu wenye wanapenda kabisa kuwa marafiki wake?
Andiko: 1Pe 5:6, 7
Ulizo la Kuacha: Ni nini inaonyesha kama Mungu anahangaikia sana kila mutu?
○●○ KUMURUDILIA MUTU MARA YA KWANZA
Ulizo: Ni nini inaonyesha kama Mungu anahangaikia sana kila mutu?
Andiko: Mt 10:29-31
Ulizo la Kuacha: Juu ya nini tunaweza kusema kama Mungu anatuelewa muzuri?
○○● KUMURUDILIA MUTU MARA YA PILI
Ulizo: Juu ya nini tunaweza kusema kama Mungu anatuelewa muzuri?
Andiko: Zb 139:1, 2, 4
Ulizo la Kuacha: Kujua kama Mungu anatuhangaikia, kunatuletea faida gani?