Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 3 uku. 5
  • Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Yakobo na Esau Wanasikilizana
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Yakobo Alipata Uriti
    Mambo yenye unaweza kujifunza katika Biblia
  • Habari Zenye Kuwa Katika Mwanzo
    Biblia—Tafsiri ya Ulimwengu Mupya
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 3 uku. 5
Yakobo anavaa nguo za Esau, na ngozi ya mbuzi kwenye shingo na mukono wake, na Isaka iko anagusa mukono wa Yakobo.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 27-28

Yakobo Anapewa Baraka Yenye Iko na Haki ya Kupata

27:6-10, 18, 19, 27-29

Wakati Isaka alimubariki Yakobo, ile baraka ilikuwa unabii.

  • Karte ya Inchi ya Ahadi, inaonyesha eneo la Israeli lenye kuwa na rangi ya majani, lenye udongo wenye mboleo tofauati na eneo la Edomu lenye rangi ya kahawia, lenye kukauka.

    27:28​—Yehova alipatia wazao wa Yakobo inchi yenye mboleo, yenye “kutiririka maziwa na asali.”​—Kum 26:15

  • 27:29​—Waisraeli (wazao wa Yakobo) wakakuwa wenye nguvu zaidi kuliko Waedomu (wazao wa Esau).​—Mwa 25:23; 2Sa 8:14

  • 27:29​—Yehova alilaani na kuharibu Waedomu kwa sababu walichukia Waisraeli na ku mwisho hawakukuwa tena taifa.​—Eze 25:12-14

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine