Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 3 uku. 6
  • Tarehe 30/3–5/4

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 30/3–5/4
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 3 uku. 6

Tarehe 30/3–5/4

MWANZO 29-30

  • Wimbo 93 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Yakobo anaoa”: (Dak. 10)

    • Mwa 29:18-20​—Yakobo alikubali kumutumikia Labani miaka saba ili aoe Raheli (w03 15/10 uku. 29 fu. 6)

    • Mwa 29:21-26​—Labani alimudanganya Yakobo kwa kumupatia Lea pa nafasi ya Raheli (w07 1/10 uku. 8-9; it-2-F uku. 222 fu. 5)

    • Mwa 29:27, 28​—Yakobo alijikaza kufanya yote yenye aliweza katika hali yake

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 30:3​—Juu ya nini Raheli aliona watoto wenye Bila alizaa na Yakobo kuwa kama watoto wake mwenyewe? (it-1-F uku. 49 fu. 2)

    • Mwa 30:14, 15​—Pengine ni juu ya nini Raheli aliachilia nafasi ya kulala na bwana yake kwa kubadilishana na matunda ya dudai? (w04 15/1 uku. 28 fu. 7)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 30:1-21 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Fanya Bidii Katika Kusoma na Kufundisha: (Dak. 10) Mazungumuzo. Muangalie video Kutia Watu Moyo, na kisha muzungumuzie somo ya 16 ya broshua Kufundisha.

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 59 fu. 21-22 (th somo ya 18)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 57

  • “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Kuhubiria Vipofu”: (Dak. 10) Mazungumuzo yenye itaongozwa na mwangalizi wa utumishi. Uliza hii maulizo: Juu ya nini ni jambo la maana kusaidia vipofu? Ni wapi tunaweza kupata vipofu? Namna gani tunaweza kuwahangaikia na kuzungumuza nao? Ni vyombo gani tunaweza kutumikisha ili kuwasaidia wamukaribie Yehova?

  • Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo: (Dak. 5) Muangalie video ya Mwezi wa 3 ya Mambo Yenye Kutimizwa na Tengenezo.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 110

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 30 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine