Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 5 uku. 6
  • Tarehe 25-31/5

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 25-31/5
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 5 uku. 6

Tarehe 25-31/5

MWANZO 42-43

  • Wimbo 120 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Yosefu Anaonyesha Kabisa Sifa ya Kujizuia”: (Dak. 10)

    • Mwa 42:5-7​—Yosefu alibakia mwenye kutulia wakati aliona ndugu zake (w15 1/5 uku. 13 fu. 5; uku. 14 fu. 1)

    • Mwa 42:14-17​—Yosefu alijaribu ndugu zake (w15 1/5 uku. 14 fu. 2)

    • Mwa 42:21, 22​—Ndugu za Yosefu walionyesha kama wametubu (it-2-F uku. 50 fu. 4)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Mwa 42:22, 37​—Ni sifa gani za muzuri zenye Rubeni alionyesha? (it-2-F uku. 835)

    • Mwa 43:32​—Juu ya nini kula chakula pamoja na Waebrania ilikuwa jambo lenye kuchukiza kwa Wamisri? (w04 15/1 uku. 29 fu. 1)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 42:1-20 (th somo ya 2)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji: Namna gani ndugu alitanguliza muzuri andiko? Juu ya nini, na namna gani ndugu alitanguliza kitabu Biblia Inatufundisha Nini?

  • Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 15)

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) lvs uku. 38-39 fu. 18 (th somo ya 8)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 94

  • “Ujikaze Kujua Muzuri Namna Mambo Ilikuwa”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Fanya Usomaji Wako wa Biblia Ukuwe Muzuri Zaidi​—Sehemu. Utie moyo wasikilizaji waangalie video yote.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 116

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 79 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine