Tarehe 25-31/5
MWANZO 42-43
Wimbo 120 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Yosefu Anaonyesha Kabisa Sifa ya Kujizuia”: (Dak. 10)
Mwa 42:5-7—Yosefu alibakia mwenye kutulia wakati aliona ndugu zake (w15 1/5 uku. 13 fu. 5; uku. 14 fu. 1)
Mwa 42:14-17—Yosefu alijaribu ndugu zake (w15 1/5 uku. 14 fu. 2)
Mwa 42:21, 22—Ndugu za Yosefu walionyesha kama wametubu (it-2-F uku. 50 fu. 4)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Mwa 42:22, 37—Ni sifa gani za muzuri zenye Rubeni alionyesha? (it-2-F uku. 835)
Mwa 43:32—Juu ya nini kula chakula pamoja na Waebrania ilikuwa jambo lenye kuchukiza kwa Wamisri? (w04 15/1 uku. 29 fu. 1)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova Mungu, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Mwa 42:1-20 (th somo ya 2)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Video ya Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Dak. 5) Mazungumuzo. Muangalie video. Kisha uulize wasikilizaji: Namna gani ndugu alitanguliza muzuri andiko? Juu ya nini, na namna gani ndugu alitanguliza kitabu Biblia Inatufundisha Nini?
Kumurudilia Mutu Mara ya Pili: (Isipite dak. 3) Tumia ukurasa wa kwanza. (th somo ya 15)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) lvs uku. 38-39 fu. 18 (th somo ya 8)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 94
“Ujikaze Kujua Muzuri Namna Mambo Ilikuwa”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Fanya Usomaji Wako wa Biblia Ukuwe Muzuri Zaidi—Sehemu. Utie moyo wasikilizaji waangalie video yote.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Dak. 30) jy sura ya 116
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 79 na Sala