Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 5 uku. 6
  • Yosefu Anaonyesha Kabisa Sifa ya Kujizuia

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Yosefu Anaonyesha Kabisa Sifa ya Kujizuia
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
  • Habari za Kufanana na Zile
  • “Mimi Niko Mahali pa Mungu?”
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2015
  • Alikuwa Baba Muzuri wa Familia, na Mwanaume Mwaminifu
    Tuige Imani Yao
  • Namna Gani ‘Ninaweza Kufanya Ubaya Huu Mukubwa?’
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2014
  • Aliilinda Familia Yake, Akawaandalia, na Akavumilia
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
Ona Habari Zaidi
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 5 uku. 6
Yosefu iko analia na ndugu zake wanasimama nyuma yake.

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MWANZO 42-43

Yosefu Anaonyesha Kabisa Sifa ya Kujizuia

42:5-7, 14-17, 21, 22

Wazia namna Yosefu alijisikia wakati bila kutazamia alikutana na ndugu zake uso kwa uso? Angependa angejitambulisha mara moja na kuwakumbatia ao kujilipizia kisasi. Lakini hakutenda palepale bila kufikiri. Kama watu wa familia yako ao watu wengine wanakutendea bila haki, utafanya nini? Mufano wa Yosefu unatufundisha kama ni jambo la maana kujizuia na kubakia mwenye kutulia, kuliko kufuata moyo wetu wenye kuwa mudanganyifu wenye unatuchochea kutenda kulingana na hali yetu ya kukosa kukamilika na bila kufikiri.

Namna gani unaweza kumuiga Yosefu katika hali zenye unakutana nazo?

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine