UTAJIRI WA NENO LA MUNGU | MAMBO YA WALAWI 8-9
Mambo Yenye Kuonyesha Kama Yehova Iko Anabariki Watu Wake
Yehova alifanya moto ilunguze toleo la kwanza la kuteketezwa ili kuonyesha kama aliunga mukono na kukubali ukuhani wa Haruni wenye ulikuwa umeanza. Yehova alitia moyo Waisraeli wenye waliona ile jambo waunge mukono kabisa ule ukuhani. Leo, Yehova iko anatumia Yesu Kristo mwenye kutukuzwa kama Kuhani Mukubwa zaidi. (Ebr 9:11, 12) Mu mwaka wa 1919, Yesu aliweka kikundi kidogo cha watiwa-mafuta kuwa “mutumwa mwaminifu na mwenye busara.” (Mt 24:45) Nini njo inaonyesha kama Yehova iko anabariki, kuunga mukono na kukubali mutumwa mwaminifu?
Hata kama mateso inaendelea, mutumwa mwaminifu anaendelea kutoa chakula cha kiroho
Kama vile ilitabiriwaka, habari njema iko inahubiriwa “katika dunia yote yenye kuikaliwa na watu.”—Mt 24:14
Namna gani tunaweza kumuunga mukono kabisa mutumwa mwaminifu na mwenye busara?