Tarehe 30/11–6/12
MAMBO YA WALAWI 8-9
Wimbo 16 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO LA MUNGU
“Mambo Yenye Kuonyesha Kama Yehova Iko Anabariki Watu Wake”: (Dak. 10)
Law 8:6-9, 12—Musa aliweka makuhani (it-1-F uku. 1189 fu. 2)
Law 9:1-5—Waisraeli walikuwa pale wakati kuhani alitoa zabihu za kwanza za wanyama (it-1-F uku. 1190 fu. 3)
Law 9:23, 24—Yehova alikubali wale wenye waliwekwa kuwa makuhani (w19.11 uku. 23 fu. 13)
Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
Law 8:6—Ilikuwa lazima kuhani akuwe safi kimwili, ile inaweza kutufundisha nini? (w14 15/11 uku. 9 fu. 6)
Law 8:14-17—Wakati Musa aliweka makuhani, juu ya nini yeye njo alitoa zabihu, kuliko kuacha Haruni aitoe? (it-2-F uku. 310 fu. 5)
Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?
Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Law 8:31–9:7 (th somo ya 5)
TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha zungumuzia jambo fulani kutoka mu gazeti la watu wote la Munara wa Mulinzi Na. 2 2020, na umupatie gazeti. (th somo ya 6)
Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza; na umuonyeshe musikilizaji site yetu ya Enternete, kisha umupatie karte ya jw.org. (th somo ya 4)
Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 84 fu. 6-7 (th somo ya 11)
MAISHA YA MUKRISTO
“Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Kuhubiri Kupitia Telefone”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Iongozwe na mwangalizi wa utumishi. Muangalie video na kuizungumuzia.
Funzo la Biblia la Kutaniko: (Isipite dak. 30) rr sura ya 1 fu. 8-14, kisanduku 1A
Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)
Wimbo 40 na Sala