Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • mwb20 Mwezi wa 11 uku. 6
  • Tarehe 30/11–6/12

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Tarehe 30/11–6/12
  • Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2020
mwb20 Mwezi wa 11 uku. 6

Tarehe 30/11–6/12

MAMBO YA WALAWI 8-9

  • Wimbo 16 na Sala

  • Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)

UTAJIRI WA NENO LA MUNGU

  • “Mambo Yenye Kuonyesha Kama Yehova Iko Anabariki Watu Wake”: (Dak. 10)

    • Law 8:6-9, 12​—Musa aliweka makuhani (it-1-F uku. 1189 fu. 2)

    • Law 9:1-5​—Waisraeli walikuwa pale wakati kuhani alitoa zabihu za kwanza za wanyama (it-1-F uku. 1190 fu. 3)

    • Law 9:23, 24​—Yehova alikubali wale wenye waliwekwa kuwa makuhani (w19.11 uku. 23 fu. 13)

  • Chimba ili Kupata Mali ya Kiroho: (Dak. 10)

    • Law 8:6​—Ilikuwa lazima kuhani akuwe safi kimwili, ile inaweza kutufundisha nini? (w14 15/11 uku. 9 fu. 6)

    • Law 8:14-17​—Wakati Musa aliweka makuhani, juu ya nini yeye njo alitoa zabihu, kuliko kuacha Haruni aitoe? (it-2-F uku. 310 fu. 5)

    • Katika usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo lingine?

  • Usomaji wa Biblia: (Isipite dak. 4) Law 8:31–9:7 (th somo ya 5)

TUJITOE KABISA KATIKA KAZI YA KUHUBIRI

  • Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Isipite dak. 3) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza. Kisha zungumuzia jambo fulani kutoka mu gazeti la watu wote la Munara wa Mulinzi Na. 2 2020, na umupatie gazeti. (th somo ya 6)

  • Kumurudilia Mutu: (Isipite dak. 4) Anza kwa kutumia ukurasa wa kwanza; na umuonyeshe musikilizaji site yetu ya Enternete, kisha umupatie karte ya jw.org. (th somo ya 4)

  • Funzo la Biblia: (Isipite dak. 5) bhs uku. 84 fu. 6-7 (th somo ya 11)

MAISHA YA MUKRISTO

  • Wimbo 58

  • “Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri​—Kuhubiri Kupitia Telefone”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Iongozwe na mwangalizi wa utumishi. Muangalie video na kuizungumuzia.

  • Funzo la Biblia la Kutaniko: (Isipite dak. 30) rr sura ya 1 fu. 8-14, kisanduku 1A

  • Maneno ya Kumalizia (Isipite dak. 3)

  • Wimbo 40 na Sala

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine