Tarehe 14-20/2
1 SAMWELI 3-5
Wimbo 1 na Sala
Maneno ya Utangulizi (Dak. 1)
UTAJIRI WA NENO YA MUNGU
“Yehova Anafikiriaka Wengine”: (Dak. 10)
Mali ya Kiroho: (Dak. 10)
1Sa 3:3—Ni nini inaonyesha kama Samweli hakukuwa nalala Patakatifu Zaidi? (w05-SW 15/3 uku. 21 fu. 6)
Mu usomaji wa Biblia wa hii juma, ni mali gani ya kiroho yenye ungependa kuzungumuzia juu ya Yehova, juu ya kazi ya kuhubiri, ao jambo ingine?
Usomaji wa Biblia: (Dak. 4) 1Sa 3:1-18 (th somo ya 10)
TUJITOE KABISA MU KAZI YA KUHUBIRI
Kumutembelea Mutu Mara ya Kwanza: (Dak. 3) Tumia sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Kisha uanzishe funzo ya Biblia kwa kutumia broshua Furahia Maisha Milele! (th somo ya 11)
Kumurudilia Mutu: (Dak. 4) Anza na sehemu Namna ya Kuanzisha Mazungumuzo. Kisha utolee musikilzaji broshua Furahia Maisha Milele! na uanzishe funzo ya Biblia mu somo ya 01. (th somo ya 15)
Funzo ya Biblia: (Dak. 5) lffi somo ya 03 nukta ya 6 (th somo ya 14)
MAISHA YA MUKRISTO
Wimbo 30
“Maisha ya Samweli Inatufundisha Nini?”: (Dak. 15) Mazungumuzo. Muangalie video Mifano Yao Inaweza Kutufundisha—Samweli (fungula sehemu video, kisha fungula sehemu FAMILIA).
Funzo ya Biblia ya Kutaniko: (Dak. 30) rr sura ya 20 fu. 9-17, kisanduku 20A
Maneno ya Kumalizia (Dak. 3)
Wimbo 99 na Sala